![]() |
||||||
![]() |
THE LUTHERAN RADIO CENTRE |
ANNOUNCEMENTS: |
||||
|
![]() ![]() Kipindi hiki husikika siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu kamili usiku hadi saa tatu na nusu usiku (09:00-09:30) Lengo la kipindi hiki:Ni Kipindi ambacho kinatoa nafasi ya wananchi wa Tanzania kuzungumzia matatizo yao na viongozi kutoa majibu na ni cha Idhaa ya Kiswahili ya BBC kwa kushirikiana na redio washirika Tanzania. Msikilizaji wetu Usikose kusikiliza kipindi hiki cha HABA NA BABA kila Jumatatu saa tatu kamili usiku, ili kusikia viongozi wakitoa majibu ya maswali ya changamoto zilizoko katika eneo unaloishi. ![]() ![]() |
![]()
![]() |
||||
Important Links: ELCT LRC
Mirror site Tansania LRC
ELCT LRC Backupserver
LWF
RADIO UPENDO DAR
RADIO FURAHA
TWR
Habari
Maalum All Rights Reserved 2019 |