![]() |
||||||
![]() |
THE LUTHERAN RADIO CENTRE |
ANNOUNCEMENTS: |
||||
|
Kipindi hiki husikika kila siku ya Jumamosi na Jumapili saa tatu kamili hadi saa nne kamili usiku. (21:00-22:00).
LENGO LA KIPINDI HIKI:Kuwafundisha watu Neno la Mungu kwa usahihi kama Mungu alivyomwita katika huduma yake ya ualimu kati ya huduma tano Mungu alizoziweka katika kanisa. SOMAWaefeso 4:11-1211 Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; 12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; Msimamizi wa kipindi hiki ni Ndugu Ezra John. ![]() ![]() |
![]()
![]() |
||||
Important Links: ELCT LRC
Mirror site Tansania LRC
ELCT LRC Backupserver
LWF
RADIO UPENDO DAR
RADIO FURAHA
TWR
Habari
Maalum All Rights Reserved 2019 |