![]() |
||||||
![]() |
THE LUTHERAN RADIO CENTRE |
ANNOUNCEMENTS: |
||||
|
![]() ![]() Hiki ni kipindi maalum kinachompa fursa mpenzi msikilizaji kutuma maswali ya kibiblia, kiroho, kifamilia au kijamii yanayomsumbua, na kuweza kujibiwa na Mwinjilisti Douglas T Mmari wa Hope Ministries Tanzania. Kila Jumanne ya mwisho wa mwezi, hufanyika maombezi maalum ya kuombea mahitaji mbalimbali ambayo wasikilizaji wetu huyatuma kupitia namaba ya simu iliyotajwa hapo chini. Kipindi hiki kinarushwa kila siku ya Jumanne saa moja ma nusu hadi saa mbili kamili usiku (7.30-8.00) na marudio yake ni siku ya Ijumaa kuanzia saa nane na nusu mchana hadi saa tisa alsiri( 2.30-3.00). Lengo la kipindi hiki:
Kuwasiliana nasi Andika Barua kupitia anwani hii: ![]() Mwinjilisti Douglas na Upendo MMari
|
![]()
![]() |
||||
Important Links: ELCT LRC
Mirror site Tansania LRC
ELCT LRC Backupserver
LWF
RADIO UPENDO DAR
RADIO FURAHA
TWR
Habari
Maalum All Rights Reserved 2019 |